iqna

IQNA

qurani inasemaje
Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kusafiri sio tu kunaweza kuwa na faida za burudani lakini pia kuna jukumu kubwa katika kuboresha afya ya mtu kiakili. Ndio maana Qur'ani Tukufu ikapendekeza kusafiri na kujionea dunia.
Habari ID: 3475655    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/21

Qur'ani Tukufu inasemaje / 20
TEHRAN (IQNA) - Mhadhiri mmoja wa Kiislamu ameashiria aya kadhaa za Qur’ani, ili kubainisha kwamba Qur’ani Tukufu imeweka msingi wa kuanzisha mahusiano na mazungumzo.
Habari ID: 3475556    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/30

Qur'ani Tukufu Inasemaje / 13
TEHRAN (IQNA) – Aya ya Qur’ani Tukufu inayojulikana kwa jina la Ayatul Kursi ina umuhimu na fadhila maalum kutokana na mafundisho yake muhimu.
Habari ID: 3475444    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/30

Qur'ani Inasemaje /12
TEHRAN (IQNA) – Vigezo vya utendaji wema vimetajwa katika aya moja ya Qur’ani Tukufu na vinaangazia vyema mtazamo wa Qur’ani Tukufu kuhusu jinsi Waislamu wanavyopaswa kuwa na tabia na imani wanazopaswa kuwa nazo.
Habari ID: 3475437    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/28

Qur'an Inasemaje /11
TEHRAN (IQNA)-Tunamjua Mwenyezi Mungu kuwa ni Mwingi wa Rehema na Mwenye kurehemu. Kwa hiyo Mungu hatatuacha peke yetu mbele ya adui yetu mkuu, yaani Shetani.
Habari ID: 3475417    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24

Qur’ani inasemaje/ 8
TEHRAN (IQNA) - Kuheshimu wazazi ni mojawapo ya mafundisho makuu ya maadili ya Uislamu na Qur’ani inalipa suala hili umuhimu mkubwa sana.
Habari ID: 3475389    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/17

Qur'ani Inasema nini / 6
TEHRAN (IQNA) – Mwanadamu humwita Mwenyezi Mungu anapokabiliwa na matatizo na kuomba msaada lakini wakati fulani inaonekana kwamba hakuna jibu. Je, hii inamaanisha kwamba mtu anapaswa kufikiria upya kumwomba Mwenyezi Mungu msaada?
Habari ID: 3475367    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/12